Joel Nanauka ni Nani?
Joel Nanauka ni Kocha wa Maisha, Mnenaji na Mwandishi wa Vitabu. Ni Mkurugenzi wa Africa Success Academy. Joel Ni Mwandishi wa Vitabu Mbalimbali na Kimojawapo maarufu kama “TIMIZA MALENGO YAKO”.


Vitabu Alivyoandika Mpaka Sasa.
Vilivyo katika mfumo wa softcopy yaani ebooks ambavyo ni kama ifuatavyo.
1. Money Formula ~ 5,000 tzsh
2.Muongozo wa mafanikio ~ 4,000tzsh
3.Core genius ~ 6,000tzsh
4.surviving the Crisis ~ 5,000tzsh
5.Jinsi ya kufanikiwa katika nyakati ngumu ~ 5,000tsh
6.Mbinu za kujenga ujasiri na kujiamini ~ 4,000tzsh
7.saikolojia ya mteja ~ 7,000tzsh
8.Hatua sita za kujiajiri ~ 7,000tzsh
9.Jinsi ya KUONDOKANA na MADENI ~ 4000
10.Mbinu za kuongeza kipato chako ~ 9000
11.Mafanikio ya kifedha kwa wanandoa ~ 5000
11.Nifanye Biashara Gani ~ 5000
12.Mwanamke na Biashara ~ 4000
13.Jinsi ya kupona maumivu ya kihisia ~ 4000
14.Nguvu ya marafiki ~ 4000
15.Nguvu ya maono – 4000
16.Kiongozi wa tofauti – 4000
17.Siri 12 za wanafunzi bora ndani ya chumba cha mtihani ~. 2000
18.mbinu 8 za kufaulu mitihani kwa kiwango cha juu – 2000
19.Mbinu za kufanikisha Ndoto yako katika nyakati ngumu – 4000
20.Strategy, jinsi ya kupata matokeo makubwa ndani ya mwaka mmoja – 5000
21.Aina 5 za watu unaowahitaji ili kutimiza maono yako ~ 4000
22.Timiza malengo personal workbook ~ 5000
23.Ufanisi kazini – 5000
Vitabu vinatumwa kwa njia ya WhatsApp au email.
Kupata Vitabu hivi Wasiliana na 0756094875 TIMIZA MALENGO BOOKSHOP
VITABU VILIVYOPO KWENYE NAKALA NGUMU (Hardcopy.)
- Timiza malengo yako – 15,000
- Ishi ndoto yako – 15,000
- Tabia 12 zinazoleta mafanikio – 10,000
- Nguvu ya mwanamke – 10,000
- Mbinu za kufanikisha ndoto yako katikati ya changamoto – 3,000
- Uzalendo na ujenzi wa Taifa – 3,000
- Ishinde Tabia ya kughairisha mambo – 5,000
- Ongeza kipato Chako – 10,000
- Core genius – 7000
- Money formula – 7000
- Nifanye Biashara gani – 7000
- Mafanikio ya kifedha kwa wanandoa – 7000.
Kupata Vitabu hivi Wasiliana na 0756094875 TIMIZA MALENGO BOOKSHOP
MITANDAO YA KIJAMII
Instagram @joelnanauka_
Facebook @jnanauka
Youtube @JoelNanauka
Twitter @Jnanauka
Ni mtunzi mzuri kupata kumuona
Good
I want to join with you to learn something
I want to join
I like to learn your book always, so I need to know how can i get the soft copy..??
joely nanauka ni mwandishi mzuri sana.
i have read one of your book ‘HOW TO PASS YOUR EXAMS WITH EASY” it is not only helpful on examination only but also on life in general i need to find another book
more blessing to you